Wema Sepetu ahukumiwa kwenda jela

Msanii Wema Sepetu akishuka kwenye gari ya Polisi.

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya milioni 2 baada ya kukutwa na makosa mawili ya kutumia na kuhifadhi dawa za kulevya (bangi) nyumbani kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS