Kipre Tchetche kurejea tena Azam Fc ?

Mchezaji Kipre Tchetche aliyeinua mikono juu akiwa kwenue jezi za klabu yake ya sasa Terengannu.

Tetesi zinaeleza kwamba mabingwa wa soka Afrika Mashariki na kati, Azam Fc wako mbioni kumrejesha mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Kipre Tchetche kwaajili ya msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS