Nikitumwa kazi na Rais siwezi kataa-Katibu CHADEMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt Vincent Mashinji amesema kuwa hawezi kukubali kuwa mtumishi wa serikali kwa ajili ya kukwepa mgongano wa kimslahi lakini kama atapewa jukumu na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli lenye manufaa kwa nchi hawezi kukataa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS