Mbowe amjibu Mbunge aliyejiuzulu
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amekanusha taarifa zilizotolewa na aliyekuwa Mbunge wa chama hicho katika jimbo la Ukerewe kuwa chama hicho kilimtelekeza wakati wa msiba wa ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere, akidai kuwa chama hicho kilimpatia rambirambi mbunge huyo.