Mbowe amjibu Mbunge aliyejiuzulu

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amekanusha taarifa zilizotolewa na aliyekuwa Mbunge wa chama hicho katika jimbo la Ukerewe kuwa chama hicho kilimtelekeza wakati wa msiba wa ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere, akidai kuwa chama hicho kilimpatia rambirambi mbunge huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS