Lowassa akoshwa na cheche za Katibu Mkuu CCM
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa amempongeza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Bashiru Ally kwa kauli aliyoitoa hivi karibuni ya kuwa serikali ya 2010 haikuwa na uhalali kisiasa.