Jinsi kigogo CCM alivyoshinda kesi ya rushwa

Kada wa CCM Haider Hussein Gulamal, na aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu

Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, Haider Hussein Gulamali ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili juu ya kutaka kumhonga shilingi milioni 2 Afisa Usalama wa Mkoa wa Singida, Kiseo Nzowa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS