Kada wa CCM Haider Hussein Gulamal, na aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu
Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, Haider Hussein Gulamali ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili juu ya kutaka kumhonga shilingi milioni 2 Afisa Usalama wa Mkoa wa Singida, Kiseo Nzowa.