Wema apewa masharti atafutiwa mbadala wake
Baada ya kuanzisha biashara yake ya duka la nguo za watoto liitwalo 'Little Sweetheart', staa wa kike wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amepewa masharti na familia yake namna ya kuliendesha duka hilo, pamoja na kuachana na baadhi ya marafiki wasiokuwa na faida kwake.

