Mbowe apewa masharti

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amezungumzia mahusiano yake na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe na kusema atakuwa na mahusiano mazuri na kiongozi huyo kama ataamua kuunga mkono maendeleo ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS