Mbowe apewa masharti
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amezungumzia mahusiano yake na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe na kusema atakuwa na mahusiano mazuri na kiongozi huyo kama ataamua kuunga mkono maendeleo ya Tanzania.