Yamebaki masaa, hatma ya CAG na Ndugai

Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, na Spika Job Ndugai.

Hatimaye lile sakata lililoibuliwa na Spika Job Ndugai la kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kufika mbele ya Kamati ya Bunge kuelezea kauli yake kuhusu, 'Udhaifu wa Bunge', leo ndio maamuzi rasmi ya sakata hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS