Mashujaa FC waitishia Simba, Dar Simba wakishangilia ushindi Klabu ya soka Mashujaa FC ya mkoani Kigoma imetoa tahadhari kwa wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wa kombe la shirikisho utakaopigwa katika leo katika uwanja wa taifa. Read more about Mashujaa FC waitishia Simba, Dar