Amber Ruty apigwa 'stop' na mchungaji wake

Amber Ruty na mchungaji Mashimo.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mchungaji Daudi Mashimo wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Mbezi Luis Dar es salaam ambaye ndiye anayewasimamia Amber Ruty na mpenzi wake jana usiku amewazuia kuzungumza na wanahabari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS