Lissu ataja siku ya kurudi Tanzania

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amebainisha kuwa katikati ya mwaka 2019, anaweza kurudi nchini kwa ajili ya kuendelea na shughuli zake za kisiasa baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS