PM ataja muda wa mwisho kulipwa wenye korosho

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo pamoja na Bodi ya Mazao Mchanganyiko wahakikishe hadi Februari 5 mwaka huu wawe wamekamilisha uhakiki na kuwalipa wakulima wote wa zao la korosho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS