PM ataja muda wa mwisho kulipwa wenye korosho Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo pamoja na Bodi ya Mazao Mchanganyiko wahakikishe hadi Februari 5 mwaka huu wawe wamekamilisha uhakiki na kuwalipa wakulima wote wa zao la korosho. Read more about PM ataja muda wa mwisho kulipwa wenye korosho