Zahera arejea Dar, asema ataiacha timu

Mwinyi Zahera

Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Mwinyi Zahera amerejea nchini usiku wa kuamkia leo Desemba 27,2018, ambapo  mara tu baada ya kufika amesema programu zote za maandalizi ya mechi dhidi ya Mbeya City anaziacha kwa kocha msaidizi Noel Mwandila.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS