Eliud Ambokile asajiliwa Afrika Kusini

Eliud Ambokile ni wa pili kutoka kulia walioinama.

Mshambuliaji wa klabu ya Mbeya City ambaye pia ni kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania Bara kwa wachezaji wa ndani, Eliud Ambokile amesajiliwa na klabu ya Black Leopards ya Afrika Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS