Watupwa mahabusu kwa kumdanganya Naibu Waziri

Askari Polisi akiwa amewashikilia ,Mhandisi wa Maji wa wilaya ya Monduli,Charles Saidea (kulia) na Mkandarasi, Ayo Jeremia wa kampuni ya Meru Constructions mara baada ya Naibu Waziri kuamuru wakamatwe.

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Juma Aweso ameamuru kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa Mhandisi wa Maji wa wilaya ya Monduli, Charles Saidea na Mkandarasi kutoka kampuni ya Meru Constructions, Ayo Jeremia kwa tuhuma za kufanya udanganyifu katika miradi wa maji inayoendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS