Kocha Simba alia na baridi, atumia video mazoezini
Kocha, Patrick Aussems na wachezaji wakiwa mazoezini
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Patrick Aussems ameelezea kuhusiana na programu ya mazoezi ya siku ya kwanza baada ya kuwasili nchini Misri kwaajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Ahly.