Mauaji ya Askari wa JWTZ, Polisi wanachunguza
Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Emmanuel Nley amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo bado linamshikilia mtuhumiwa aliyesababisha kifo cha Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kambi ya Tabora, Esther Gway wakati akijiokoa katika tukio la ubakaji, mara tu uchunguzi

