Simba yamsajili mshambuliaji Vitalis Mayanga Vitalis Mayanga Klabu ya soka ya Simba imemsajili mshambuliaji wa Ndanda FC Vitalis Mayanga, kwaajili ya kuitumikia katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo timu hiyo ipo hatua ya makundi. Read more about Simba yamsajili mshambuliaji Vitalis Mayanga