Simba yamsajili mshambuliaji Vitalis Mayanga

Vitalis Mayanga

Klabu ya soka ya Simba imemsajili mshambuliaji wa Ndanda FC Vitalis Mayanga, kwaajili ya kuitumikia katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo timu hiyo ipo hatua ya makundi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS