Rosa Ree awataka wanawake wasiwahukumu wanaume

Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree.

Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree, ameibuka na kuwataka wanawake wasihukumu wanaume wote kwenye mahusiano sababu waliumizwa na mwanaume mmoja, badala yake wawape nafasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS