Rosa Ree awataka wanawake wasiwahukumu wanaume Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree. Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree, ameibuka na kuwataka wanawake wasihukumu wanaume wote kwenye mahusiano sababu waliumizwa na mwanaume mmoja, badala yake wawape nafasi. Read more about Rosa Ree awataka wanawake wasiwahukumu wanaume