Serikali yadhamiria kumrudisha Nondo mahakamani

Pichani ni Abdul Nondo.

Serikali imeweka kusudio la kukata rufaa ya kesi ya Jamhuri, dhidi ya aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa wanafunzi wa vyuo vikuu, Abdul Nondo, ambapo kwa sasa kesi hiyo itapelekwa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS