Nandy afunguka "issue" ya kuokoka

Picha ya msanii Nandy

Msanii wa muziki anayefanya vizuri nchini Nandy,  amenyoosha maelezo kuhusu issue ya kuokoka, baada ya kuonekana akifanya maombi katika Kanisa la Mchungaji Mwamposa, kwenye mkesha wa kuukaribisha mwaka mpya wa 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS