Naibu waziri Ndumbaro aimaliza Yanga dhidi Simba
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mh Damas Ndumbaro, ambaye ni shabiki mkubwa wa klabu ya soka ya Simba na amewahi kuiongoza kwa nyakati tofauti, amesema timu yake hiyo ina nafasi kubwa ya kushinda kwenye mchezo wa leo.

