Naibu waziri Ndumbaro aimaliza Yanga dhidi Simba

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mh Damas Ndumbaro

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mh Damas Ndumbaro, ambaye ni shabiki mkubwa wa klabu ya soka ya Simba na amewahi kuiongoza kwa nyakati tofauti, amesema timu yake hiyo ina nafasi kubwa ya kushinda kwenye mchezo wa leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS