NECTA: Ukivujisha Mtihani ni hasara unaponaje sasa
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini (NECTA), Dkt Charles Msonde, amesema Mtendaji yeyote wa Elimu atakayejihusisha na uvujishaji wa mitihani kwa Wanafunzi, hatobaki salama kama ambavyo fedha za Serikali zitakavyoteketea katika uandaaji wa mtihani mwingine.