Nyota wa Uganda ajifunga Azam FC mpaka 2022 Wadada (kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat'. Mlinzi wa kulia wa klabu ya soka ya Azam FC, Nickolas Wadada ambaye ni raia wa Uganda, amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja. Read more about Nyota wa Uganda ajifunga Azam FC mpaka 2022