Kuhusu ugomvi na Manula, Kaseja aeleza undani

Kushoto ni Kaseja na kulia ni Manula

Golikipa wa KMC na timu ya taifa ya Tanzania Juma Kaseja, amesema hakuna ugomvi kati yake na golikipa wa Simba Aishi Manula, badala yake yeye ni mkubwa wa magolikipa wote na wanahitaji msaada wake ili kufikia malengo yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS