Simba na Yanga zaungana kuisaidia jamii

Majengo ya makao makuu ya Simba na Yanga

Mashabiki wa vilabu vikongwe hapa nchini Simba na Yanga, kutoka eneo la Kibirizi mkoani Kigoma ambao kwa miaka 10 mfululizo wamekuwa wakishindana katika kujitolea kuchangia damu salama, sasa wameanza kuhamasisha jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS