Hatma ya wanafunzi, shule iliyoungua Ilala

Sehemu ya mabweni yaliyoungua

Wanafunzi watatu katika shule ya sekondari Islamic ilipo ilala Jijini Dar es Salaam wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya moto ulizuka majira ya saa nane za usiku ukianzia katika mabweni wa shule hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS