Hatma ya wanafunzi, shule iliyoungua Ilala Sehemu ya mabweni yaliyoungua Wanafunzi watatu katika shule ya sekondari Islamic ilipo ilala Jijini Dar es Salaam wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya moto ulizuka majira ya saa nane za usiku ukianzia katika mabweni wa shule hiyo. Read more about Hatma ya wanafunzi, shule iliyoungua Ilala