"Nimepata bahati, sikulazimishwa" - Hamisa Mobetto

Msanii na mrembo Hamisa Mobetto

Msanii na mrembo Hamisa Mobetto amesema, amepata bahati ya watu kumfuatilia na watoto wa kike kumuangalia kama kioo chao licha ya kuzaa watoto wawili na wanaume tofauti nje ya ndoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS