"Nimepata bahati, sikulazimishwa" - Hamisa Mobetto Msanii na mrembo Hamisa Mobetto Msanii na mrembo Hamisa Mobetto amesema, amepata bahati ya watu kumfuatilia na watoto wa kike kumuangalia kama kioo chao licha ya kuzaa watoto wawili na wanaume tofauti nje ya ndoa. Read more about "Nimepata bahati, sikulazimishwa" - Hamisa Mobetto