Mshambuliaji wa AC Milan,Zlatan Ibrahimovic(pichani),katika moja ya shambulizi kwenye mechi ya Seria A dhidi ya Juventus ambayo walishinda kwa bao 4-2.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden na klabu ya Ac Milan ametamba kuwa endapo angesajiliwa mapema katika klabu hiyo amaamini wangefanikiwa kutwaa ubingwa wa Scudetto msimu huu.