JPM amuita Lijualikali, amsifia "umependeza"

Mbunge wa Kilombero aliyemaliza muda wake Peter Lijualikali, na kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemkaribisha jukwaani Mbunge wa Kilombero aliyemaliza muda wake kupitia CHADEMA Peter Lijualikali na kumuambia kuwa kwa sasa tangu ahamie CCM ameanza kupendeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS