"Nimesafisha Dar, sasa naingia chumbani " -Waitara
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa mpaka sasa hivi amekwishamaliza kazi kubwa ndani ya Jiji la Dar es Salaam ya kukisambaratisha Chama cha CHADEMA, na kwa sasa ataingia chumbani kwenye Jimbo la Tarime Vijijini lililokuwa likiongozwa na John Heche

