Simba bingwa wa Ligi kuu Tanzania bara 2019/20
Klabu ya Simba SC imetwaa ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara kwa mara ya tatu mfululizo, baada ya mchezo uliomalizika jioni ya leo juni 28, 2020 kwenye uwanja wa Sokoine jijiji Mbeya wakitoka suluhu na tanzania prison. simba imefikisha pointi 79 kwenye mechi 32 na haziwezi kufikiwa,

