Wafanyabiashara Simiyu wakubali kuuza sukari 1,900

Sukari

Wafanyabiashara wa sukari Wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu, wametangaza kushusha bei ya bidhaa hiyo kutoka Sh 3,200 kwa kilo moja ilivyokuwa ikiuzwa awali, hadi Sh 1,900, ili kutii maagizo ya Serikali. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS