EPL, EFL na PFA kuwapa nafasi makocha weusi (BAME)

Nembo za Premier League, PFA na EFL

Ligi kuu ya soka England pamoja na kombe la ligi nchini humo (EFL) kwa kushirikiana na chama cha wachezaji wa kulipwa (PFA), wamekuja na mpango wa kuboresha uwezo kwa makocha weusi, wenye asili ya Asia na wanaotoka nchi nyingine ambazo hazijapiga hatua kwenye soka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS