Dkt Avemaria awashangaa wale wanaotembea na vyeti
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dkt Avemaria Semakafu, amewashangaa wale walimu walioweka vyeti vyao ndani kwa miaka minne bila kutafuta nafasi ya kujitolea kwenye shule zenye uhitaji na badala yake wamekaa kusubiri ajira kutoka Serikalini.

