Mchepuko 'wamponza' Mwanajeshi feki

Mwanajeshi feki Mrisho Ibrahim (aliyevaa sare za JWTZ) akiwa mikononi mwa Polisi

Jeshi la Polisi mkoani Kagera, linamshikilia Mrisho Ibrahimu mwenye umri wa miaka 34 kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi la Wananchi (JWTZ), ambazo imedaiwa aliziiba kutoka katika nyumba ya Baba Mkwe wake, mkoani Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS