Israel wafanya Oparesheni ya Kijeshi Palestina

Kifaru cha kijeshi cha Israel kwenye Oparesheni Palestina

Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, wanajeshi wa Israel wamevamia katika maeneo tofauti ya mji wa Jenin katika Ukingo wa Magharibi alfajiri ya leo Jumatatu, katika maeneo ya magharibi mwa Jenin.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS