Marekani yaonywa sakata lake na USAID

Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) ameonya katika barua pepe siku ya Jumapili, kwamba hatua ya serikali ya Trump ya kulivunja shirika hilo itasababisha vifo visivyo vya lazima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS