Katambi afika kwenye msiba wa aliyefia ndani

Naibu Waziri Katambi msibani

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi, ambaye ni mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini, amefika kwenye msiba wa Wande Kulwa mwenye ualbino mkazi wa Nhelegani, aliyekutwa amefariki nyumbani kwake takribani siku tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS