Ukijiandikisha mara mbili utapelekwa mahakamani

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Jacob Mwambegele

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imewatahadharisha wananchi wenye nia ya kujiandikisha zaidi ya mara moja kwenye daftari la kudumu la wapiga kura watapigwa faini kuanzia shilingi 100,000/= na isiyozidi shilingi 300,000/=, au kifungo kuanzia miezi 6 na isiyozidi miaka miwili au vyote pamoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS