Vijana wakutwa na noti bandia Mbeya Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili Geofrey Braiton na Michael Ruben wote wakazi wa Mbeya mjini kwa tuhuma ya kupatikana na noti bandia za shilingi elfu kumi. Read more about Vijana wakutwa na noti bandia Mbeya