CCM yakaza kamba, hatua kali kwa watendaji wazembe Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa onyo kali kwa viongozi wa serikali na watendaji wa umma, kikisema kitawachukulia hatua kali wale wote watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Read more about CCM yakaza kamba, hatua kali kwa watendaji wazembe