Rais Mstaafu Peru atupwa Jela

Mahakama ya Peru imemhukumu Rais wa zamani Martin Vizcarra kifungo cha miaka 14 jela baada ya kumpata na hatia ya kuchukua hongo miaka kadhaa kabla ya kuchukua madaraka, na kuongeza orodha ya viongozi wa zamani waliofungwa jela kwa ufisadi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS