Majaliwa kugombea tena ubunge 2025
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa Mkoani Lindi Mhe. Kassjm Majaliwa Majaliwa amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa kwa kuendelea kumuunga mkono na kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu yake, akiwajulisha kuwa atarejea tena kwenye kinyang'anyiro