Aziz Ki na Nouma watemwa kikosini Burkina Faso
Kiungo wa Yanga SC Stephane Aziz Ki na mlinzi wa Simba SC Valentino Nouma wameachwa katika kikosi cha Burkina Faso kilichoitwa leo na kocha Brama Traore kwaajili ya michezo miwili ya kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026