
Pikipiki iliyokanyagwa na lor la Tumbaku
EATV imefika katika eneo la tukio na kukuta magari hayo matatu yakiwa katika eneo hilo, ambapo mashuhuda wa ajali hiyo na kusema kuwa watu hao waliokuwa na pikipiki walikuwa nyuma ya basi huku chanzo cha awali cha ajali hiyo kila ikionesha uzembe dereva wa basi kutaka kupita lorry lilikuwa limepaki na kusababisha ajali hiyo.
Akithibisha kutokea kupokea vifo hivyo na majeruhi daktari wa zamu katika hospitali ya wilaya Manyoni amesema kuwa walipokea miili ya watu wawili wakiwa wamefariki na majeruhi mmoja ambapo amepatiwa matibabu na kuruhusiwa .