Baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na CHADEMA na kulia ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 16, 2022, Bungeni Dodoma, na kuthibitisha kupokea barua kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, ya kumtaarifu kuhusu wabunge hao kutokuwa wanachama wa chama hicho.
Tazama video hapa chini