Picha ya Sheikh Kipozeo
Sheikh Kipozeo ameeleza hayo wakati akipiga stori na big chawa, kupitia show ya Planet Bongo ambayo inaruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 7:00 mchana hadi 10:00 jioni.
"Mimi namuhusia tu kwamba wanawake wapo wengi, kwahiyo ukiona mwanamke anakuvunjia heshima unatafuta mwingine tu, japokuwa yule aliyepita si kama wa huyu atakayempata sasa hivi, lakini utamzoea tu na atakuwa kama yule, sio jambo la kusikitika sana ndiyo maana Mungu amewaleta wanawake wengi duniani kuliko wanaume" amesema Sheikh Kipozeo.