Jumamosi , 10th Mei , 2025

Klabu ya Liverpool wapo kwenye makubaliano ya kumsajili beki wa kulia wa Bayern Leverkusen Jeremie Frimpong  ili kuziba nafasi Trent Alexander Arnold anayeondoka mwishoni mwa msimu huu.

Jeremie Frimpong - Beki wa kulia wa Bayern Leverkusen

Liverpool watalazimika kulipa Euro Milioni 35 ambayo ni sawa na shilingi 106,176,000,000.00 kwa fedha za Tanzania ili kumnasa beki huyo wa kulia ambaye msimu huu  amecheza mechi 32 za Bundesliga  amefunga mabao 4 na kutoa assists 5

Endapo uhamisho huo ukikamilika Frimpong atakwenda kuungana na Conor Bradley katika orodha ya wachezaji wanaocheza nafasi ya beki wa kulia