![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/10399984_997048640309554_9115593632946231709_n.jpg?itok=pslEwEfk×tamp=1472385336)
Mashindano ya kucheza muziki nchini Tanzania Dance 100% 2014
Mashindano haya yatakayohusisha makundi 16 makali ya kudansi, yatafanyika katika uwanja wa Oysterbay Don Bosco, na makundi yataanza kuonesha uwezo mbele ya majaji kuanzia saa 6 mchana.
Tukio hili linatarajiwa kuwa na msisimko wa aina yake hasa kutokana na ushindani na uwezo mkubwa wa makundi yote ambayo yanashiriki. #2014Dance100%.