![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2016/12/12/waisilamu.jpg?itok=g8RUPd7V×tamp=1481557297)
maulid katika viwanja vya Maisara Unguja
Hayo yamezungumzwa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwenye sherehe za mauli zilizosomwa jana usiku ambapo waislam wanasherekea kuzaliwa kwa Mtume Mohammad (S.A.W).
Sheikh Alhad Salum amewataka waislam kuiga mwenendo wa Mtume wao kwa kuwa na maadili kwa kutenda haki kwa kila mtu pamoja na kukemea maovu yanayoendelea kushamiri ulimwenguni.
Sheikh Alhad Musa Salum - Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam
Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Pangani ambaye alihudhuria sherehe hizo, Bi. Zainabu Abdallah , amewataka wanawake kujitambua na kuwa mstari wa mbele katika kufanya kazi kwa bidii.