
Rapa Witnesz a.k.a Kibonge Mwepesi
Witnesz amesema kuwa, sio mara zote kitu ambacho mtu anakifanya kama kazi kikaweza kikajionesha kwake binafsi, huku akijitetea kuwa kuna tofauti kubwa katika mwili wake wa zamani na wa sasa, kitu ambacho eNewz tunawaachia kazi mashabiki kuamua.
Kuhusiana na suala hilo, Witnesz mwenyewe hapa akiwa na sababu lukuki za kujiamini, anaeleza.
